Hello, I'm Bunduki. M.
*Unalala wenzako wakitafuta pesa* *Time unaamka, unaanza kuwaita scammers😂😂* *Angalia background yako na uanze kuhustle✌🏽* *Wacha kujicompare na watu📌* *Mbogi ya University isikuchoche✍🏽* *Watu huku nje wako na connections na wewe je?🤔* *Have a plan B,C and D*